Matayarisho ya mazishi ya Marehemu Askofu Ravasi yaendelea
November 3, 2020
Na Adano Sharawe. Watu 2 wameripotiwa kufariki huku wengine kadhaa wakipata majeraha mbalimbali baada ya gari dogo kuhusika kwenye ajali mapema leo katika barabara ya Marsabit-North Horr. Ajali hiyo ilitokea eneo la Dadhach Boshe kilomita chache kutoka hapa mjini Marsabit. Gari hilo lilikuwa safarini likitokea North Horr. Inasemekana kuwa gari[Read More…]
Na Waihenya Isaac. Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri chini ya umri wa miaka 23 Shawky Gharib, amesema ni mapema mno kutangaza maamuzi ya kumjumuisha mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah, kwenye kikosi chake kwa ajili ya michuano ya Olimpiki 2020, itakayofanyika mjini Tokyo, Japan. Tayari Misri imeshafuzu kushiriki[Read More…]
Na Waihenya Isaac. Tottenham Hotspurs Manager Josehe wants to see the “REAL” Dele Alli again at Tottenham and has challenged the England international to turn his form around. Alli established himself as one of the brightest talents in English football under Mauricio Pochettino at Spurs, contributing prolifically from midfield. He[Read More…]
Na Adano Sharawe. Afisa mmoja wa polisi katika kambi ya Buluk, kaunti ndogo ya North Horr aliyeripotiwa kupotea siku 3 zilizopita amepatikana akiwa ameaga dunia. Konstabo Abdiaziz Mohammed Aden aliripotiwa kutoweka siku ya Jumatatu wiki hii. Mwili wake uliokuwa umeanza kuoza ulipatikana na wafugaji eneo la Araftis, lokesesheni ya Sabare[Read More…]